Powered by Blogger.

Featured Posts

Wednesday 11 March 2015

Style za kumkojolesha na kumfikisha mwanamke kileleni haraka

Posted by Unknown at 07:59 0 Comments
Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kilele kwa upungufu wa nyege au matatizo mengine ya kimaumbile tukiachilia mbali swala la
kukeketwa.
Baadhi ya wanawake hufikia kilele mara moja tu (tena kwa shugulikiwa kisimi sio ule uhondo wa kumani) kila wanapofanya mapenzi/ngono na wachache wamejaaliwa na hupata uhondo wote wa kufanya mapenzi yaani wanaweza kufika kileleni zaidi ya mara mbili katika tendo/mzunguuko mmoja.
Ujuzi au utundu wa mwanaume hausaidii ikiwa mwanamke mwenyewe hajiamini na vilevile hajui ni kitu gani kina “kunyegesha”.
Mwanamke anasehemu mbili maalum zinazopelekea kufikia kilele ikiwa zitafanyiwa kazi vyema sehemu hizo ni Kisimi na “kipele G”
Wanawake wengi tunakasumba ya kukimbilia “mikao” migumu tukiwafikiria wanaume wetu, sasa mimi nasema hivi; ikiwa unamatatizo ya kufika kileleni hakikisha mnaanza na “mkao” ambao unajua wazi unakufikisha ktk dakika chache badala ya kukimbilia “doggy” ukijua wazi mumeo/mpenzi wako ana mboo fupi au hajui/hujui “kipele G” kiko wapi?
Kifo cha mende #1. Huu ni “mkao” wa kizamani au kilokole (kufanya mingine ni dhambi hahhahaha) ila mimi binafsi na ufagilia sana.
“Mkao” huu umeboreshwa na unaweza kuufanya katika “pembe” tofauti inategemeana na wepesi wako, Ila hizi pembe mbili nakupa hapa ni maalum kumuwezesha mwanamke afikie kilele.
Kama kawaida lala chali huku miguu imepanuliwa, wakati Jamaa yuko juu yako, kunja sehemu ya magoti kueleke kifuani, kisha egesha miguu yako kwenye mabega yake.
Hii itazidisha kina cha uke na kufanya uume uende chini zaidi na “kukandamiza” mwisho wa uke na ukitoka huko unasugua sugu “kipele G” kabla haujatoka kabisha na kulamba kisimi na midomo ya K na hivyo utapata raha katika sehemu zote za uke wako.
Kifo cha mende #2. Mwanamke juu….ukiwa tayari kalia “mzingo” kisha mpe ile ya 1-10 na fanya hii kwa ajili yako ondoa maswali yako kuwa “sijui anasikia raha, sijui sio hivi sijui nini” mh-mh wewe jifikirie mwenyewe kwanza, unajua hawa viumbe sio lazima wafike ndio wawe wamefurahia tendo bali kitendo cha wewe kuonyesha unafurahia au jinsi unavyoteseka kufika yeye anapata raha…..
Mara baada ya kufika sasa ndio anza kumfikiria yeye na hapo ndio anza kumpa mauno, mpe mbele-nyuma, huku na kule, juu-chini huku wakaza mboo yake namisuli ya uke…..vyovyote uwezavyo na kama umeumbwa ka’ mimi basi unaweza pata bao la pili na mzunguuko haujaisha pao!
Real entry (a.k.a Doggie). Hii ni tofauti kiduchu na ile ambayo wengi huwa mnaifikiria/fanya ambayo mwanamke huwa hafiki kiurahisi na hapo “fake kilele” hujitokeza kwa vile ama inauma au kachoka.
Ninachojaribu kusema hapa ni kuwa “chuma mboga/mbuzi kagoma” wanawake wengi huwa haiwafikishi kileleni na huwa tunafanya hivyo kwa ajili ya wanaume na wanaume huwafikisha haraka kutokana na kile kitendo cha kuona inaingia na kutoka na uzuri wa matako yako yanavyo “lindimika” ka’ jelly hahahahaha.
Wewe mwanamke ili ufike kileleni basi inakuwa hivi mwanaume analala chali huku kichwa kikiwa juu ya mto (ili aweze kuangalia kazi yako).
Wewe unatakiwa umpe mgongo alafu ingiza uume kisha “support” uzito wako kwa kushikilia godoro, Wakati wewe unaenda juu- chini, yeye akusaidie kwa kukushika kiuno au matako, hakikisha uume wote unaingia hadi mwishoni kwenye makende/pumbu pale alafu usiwahi kurudi juu hakikisha unajisugua kiaina ili kuona wapi panakunika alafu jiweke kwenye pembe hiyo.
Kumbuka wewe ndio “dereva” hapo kwa hiyo endesha vema kwani ukikosea kidogo tu atakuacha (kutokana na anachokiona).
Ukiona haiji haraka basi nyoosha miguu yako bila uume kutoka ukeni na hapo utakuwa umelalia tumbo kwenye mapaja yake na miguu yako inatazama uso wake, panua miguu yako vema kisha mpe “pumps” (rafiki yangu mmoja husema mpige tako hahahahaha)…..hapo lazima utafika tu…..
Vilevile unaweza simamia magoti na mikono (kama mnyama) panua miguu kidogo na Jamaa atapiga magoti nyuma yako na kuingiza uume kwenye uke, unapaswa kujituma kama ni ndani-nje, huku na kuko, mbele- nyuma, kuzunguusha kiuno chaguo ni lako, lakini ukifanya vyote ndio raha zaidi.
Chap-chap#1.
Hii inaweza ikafanywa bila kuondoa nguo zote unashusha kidogo hadi magotini “kitu na Box”, nah ii lazima wote muwe naminyege lundo. Alafu ikiwa wewe ni mfupi itakuwa ni kituko kwani itabidi upande juu ya “kistuli” au upange matofali kama sio kubebwa (inategemea mko ktk mazingira gani) ili uume uingie vyema na kwenda “kukandamiza” uke wako kwa ndani na wakati wa kutoka basi upitie vema kisimi.
Chap-chap#2. Anataka wewe akili iko kwenye kuosha vyombo n.k. Mpenzi wako kwanini umnyime ei? Simama alafu uiname kidogo, pitisha mate kidogo juu ya uke wako alafu ingiza na kidole ili mate hayo yalainishe njia…kisha panua mguu mmoja ili kuuwezesha uume uingie vizuri, ukishaingia rudisha mguu kidogo ili uume “usichomoke”, wakati jamaa anakwenda juu-chini mikono yake ichezee kisimi ili kuongeza raha ya mnachokifanya .
Ubavu #1(a.k.a 11).
Lalia ubavu na ugeukie upande wa pili, jamaa akiwa nyuma yako ataingiza uume ndani ya uke kwa kupitia nyuma, “mkao” huu hufanyika katika mitindo tofauti kama ilivyo kifo cha mende ila huu ni wa kivivu zaidi lakini itakufikisha kunako uhondo.
Ubavu#2(a.k.a 14).Yeye analala kama #1, wewe jishushe kiasi kisha jikunje kama nne alafu rudisha matako yako kwa nyuma uswa wa uume wake kisha inua mguu wako ili aingize uume ukeni mwako, rudisha mguu chini kisha anza kujiangaisha kwa kukata kiuno au vyovyote uwezavyo wakati yeye anakupa nje-ndani….
Kitendo cha mapaja yako kubanana kitakupa raha kwenye kisimi na hata utamu na uume nao utakuwa umeubana na hivyo kusugua kona zako huko ndani.
Vyura.
Lala kifudifudi huku umepanua miguu alafu Jamaa alale juu yako na kuingiza uume kwenye uke kupitia nyuma, kwa kufanya hivyo uume wake utalenga vema “kipele G” kama unacho.
Wakati akienda nje-ndani mwili wako utakuwa unacheza cheza na kusugua kisimi ambacho kwa wakati huo kitakuwa kimegusa godoro na hivyo utapata utamu mara mbili kwa wakati mmoja wa “kipele G” na kisimi.
Toroli. Lala kifudifudi mwishoni mwa kitanda ning’iniza miguu huku umeipanua , Jamaa asimame katikati ya miguu yako, arudi chini kidogo ili aweze kuulenga uke. Jamaa atakwenda nje-ndani na wakati huohuo mwili wako utakuwa unacheza na kusugua kisimi na unaweza kubahatisha bao mbili kwa mzunguuko mmoja kama umejaaliwa.
KIDOKEZO KWA WANAUME.
Baadhi ya wanaume huwa na bidii na kufanikiwa kufika “Eneo la hatari” ambako ni ndani yaani karibu na njia ya uzazi.
Unapofika huko mwanamke atakuwa akilia kwa maumivu na wakati huohuo kutaka zaidi, pia utahisi misuli ya uke inakubana na kujaribu “kusukuma” mboo hiyo haina maana kuwa mwanamke amefika bali anakaribia hivyo ni wajibu wako kuzidisha “speed” badala ya kupunguza.
Jinsi unavyofanya hivyo ndivyo unavyozidi kumpa raha mwenzio na hatimae kufika…..baada ya kutoka uume unaweza ukawa na vijidamu kiasi au damu hasa kama vile yuko hedhini hapo inamaana umejeruhi kwa vile kule ni laini sana na hupona yenyewe tu.
Tahadhari: Ruhusu mtu afike mbali kiasi hicho ikiwa mko kwenye mahusiano ya kuaminiana, huna mimba (inaweza kuleta matatizo), huna mpango wa kupata mimba (akiteleza kidogo tu pale imenasa).BOFYA HAPA KUIONA HIYO STYLE (kumbuka ku-click skip add ili kuiona hiyo video ni bure)
Mazoezi ni muhimu ili kufanikiwa kujaribu baadhi ya mikao ya kiujumla ambayo ni BAB-KUBWA.
Mikao mingine nitaendelea kukurushia hapa inategemea zaidi na matakwa yako.
Kila la kheri katika kutukuza utukufu tuliojaaliwa.....samahani kiswahili changu kibovu.

Thursday 19 February 2015

KUMBE SHEMEJI NI DILI? OMMY DIMPOZ AFUNGUKA KUHUSU YEYE NA WEMA SEPETU 'SHEMEJI' MSIKILIZE HAPA

Posted by Unknown at 20:47 0 Comments

Wengi wakidai kuwa huenda ikawa ni picha ya utengenezaji wa video ya Ommy Dimpoz huku wengine wakidai kuna project mpya kati ya wawili hao.
Wakati hayo yote yakiendelea bila kupata majibu kamili, Ommy Dimpoz aongea ya kwake



"Kwasasa sina chochote cha kuongea, zinamaanisha hivyo hivyo kama zilivyo" amesema Dimpoz. licha y akuuulizwa maswali mengi lakini jibu lake limebaki kuwa hivyo hivyo..

CHEGE NA TEMBA NEW SONG. DOWNLOAD HERE

Posted by Unknown at 20:33 0 Comments

Tuesday 17 February 2015

Mashabiki wamvamia Diamond Zanzibar

Posted by Unknown at 19:25 0 Comments
Diamond-PlatnumzZANZIBAR
KATIKA hali isiyotarajiwa askari wanaolinda katika Tamasha la Sauti za Busara walijikuta wakifanya kazi ya ziada kutawanya idadi kubwa ya mashabiki wa msanii, Nassib Abdul (Diamond), baada ya kumvamia walipomuona katika eneo hilo akiwa na mpenzi wake, Zari.
Mashabiki hao walimvamia msanii huyo na mpenzi wake kwa lengo la kupiga naye picha na wengine wakitaka kumsalimu kwa kumkumbatia lakini kutokana na kila shabiki kutaka kupata nafasi hiyo kwa haraka wakajikuta wakizua vurugu zilizolazimu askari kuwatawanya.
Msanii huyo alifika maeneo ya Forodhani nje ya ukumbi wa Ngome, Kongwe saa moja usiku na baada ya muda mwanamitindo, Martin Kadinda akaonekana kujumuika nao lakini baadaye ndipo mashabiki wakamgundua kwamba ni Diamond.
Baada ya vurugu hizo za furaha kutokea na askari kuwajibika, msanii huyo na mpenzi wake walielekea walipopaki gari lililowaleta wakaondoka eneo hilo huku mashabiki wakionekana kuendelea kumshangilia kwa furaha.
Kwa mujibu wa meneja wa msanii huyo, Babu Tale alisema msanii huyo yupo Zanzibar mapumzikoni na mpenzi wake na hakuna ratiba ya onyesho kwao.
“Diamond yupo Zanzibar amekwenda kutembea kula maisha na mpenzi wake Zari na hakuna ratiba ya shoo, amekwenda kupumzika tu,’’ alisema meneja huyo huku akidai kwamba msanii huyo kwa sasa bado hajapanga wimbo wa kutoa hivi karibuni.
Hata hivyo, naye mwenyekiti wa Bodi ya Busara Promotion, waandaaji wa tamasha la Sauti za Busara, Simai Mohammed, alisema mwakani wanatarajia kupokea maombi ya msanii, Abdul Nassib (Diamond) katika tamasha hilo.

Albino mwingine atekwa Kanda ya ZiwaGeita.

Posted by Unknown at 00:48 0 Comments
Geita. Mtoto mwingine mwenye ulemavu wa ngozi (albino) ametekwa mkoani Geita, likiwa ni tukio la pili ndani ya kipindi kisichozidi siku 50.
Kamanda wa Polisi mkoani Geita, Joseph Konyo alimtaja mtoto aliyetekwa kuwa ni Yohana Bahati mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi sita, kwamba alitekwa usiku wa kuamkia juzi akiwa nyumbani kwao na wazazi wake.
Hili ni tukio ni la pili kutokea katika mikoa ya Kanda ya Ziwa, baada ya tukio la awali kutokea kijiji cha Ndami wilayani Kwimba mkoani Mwanza, ambako mtoto Pendo Emmanuel mwenye umri wa miaka minne alitekwa na watu wasiojulikana usiku wa Desemba 27, mwaka jana na hadi sasa bado hajapatikana wala watekaji wa mtoto huyo hawajakamatwa.
Hali hiyo inatokea huku kukiwa na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo la Januari 6, alipotoa siku tano kwa wanakijiji wa Ndami na kikundi cha ulinzi cha jadi cha sungusungu wilayani Kwimba kwamba ndani ya kipindi hicho mtoto Pendo awe amepatikana.
Wakati utekelezaji wa agizo hilo ukiwa haujatimia tukio lingine la utekaji limetokea mkoani Geita usiku wa kuamkia juzi wakati mama wa mtoto huyo (Yohana), Ester Jonasi (30) akiwa katika harakati za kuandaa chakula cha usiku.
Tukio hilo lilitokea kwenye kitongoji cha Ilyamchele, Kijiji cha Ilelema wilayani Chato mkoani Geita, ambapo watu wanaodaiwa kufanya unyama huo walikuwa wawili na walivamia nyumbani kwa wazazi wa mtoto huyo wakiwa na mapanga na kisha kutoweka naye kusikojulikana baada ya kuwazidi nguvu wazazi wake.
Kamanda Konyo alisema watu hao wakiwa na mapanga baada ya kufika katika familia hiyo, walimteka mama yake na katika kunyang’anyana mtoto  walilazimika kutumia mapanga kwa kumjeruhi mama wa mtoto huyo.
Familia hiyo ina watoto watatu wote albino ambapo wakati mtoto mwingine anatekwa kaka yake alikuwa kwa jirani anacheza na aliporejea nyumbani alikuta tukio limetokea.
“Katika purukushani  hizo waharifu hao walimjeruhi mama wa mtoto huyo...mikononi, kichwani na begani na amelazwa kwenye hospitali ya Wilaya ya Geita kwa matibabu.
“Kilichotokea ni kwamba watu wa familia ya mtoto huyo...Inaishi porini ambako ni eneo la hifadhi ambako hapatakiwi kuishi watu..kutokana na mazingira hayo ilikuwa siyo rahisi  kuwamakata  watu hao.”
Konyo alisema pamoja na juhudi za wananchi na polisi kufika eneo la tukio hazikuzaa matunda kuwakamata watu hao, juhudi za kuwatafuta watuhumiwa hao zinaendelea na hivyo kutoa wito kwa wananchi kushirikiana kuwasaka.
“Tukio hilo ni la kwanza katika mkoa wetu wa Geita...Limetuweka katika mazingira magumu sana lakini tumejipanga timu ya makachero inaendelea kuchunguza na kwamba tutahakikisha  huyo mtoto anarudi.”
Alisema baba wa mtoto huyo, Bahati Msalaba anashikiliwa kwa uchunguzi  kuhusiana na tukio hilo, kwani wakati linatokea alikuwa nje anaota moto(Kikome).
“Tunamshikilia baba wa mtoto kwa sababu ya uchunguzi kwani wakati tukio linatokea baba wa mtoto alikuwa nje kwa hiyo kwa uchungzi wa awali tunamshikilia...Pia mtoto yule mwingine (Hakumtaja jina) amechukuliwa na wilaya kwa uangalizi kwakuwa eneo hilo linamazingira magumu,” alisema Konyo.

Monday 16 February 2015

Siri ya wanaume kupenda kuvaa suruali nyeusi

Posted by Unknown at 23:41 0 Comments

 
Nimesimama Kituo cha Daladala Mbezi Mwisho, saa moja asubuhi kusubiri usafiri wa kuelekea kazini. Watu ni wengi, kila mmoja yuko makini kufuatilia mabasi yanayoingia kituoni hapo.
Mara basi la Mbezi- Gongo la Mboto linawasili, kabla hata halijasimama kushusha abiria, watu wanalikimbilia, wanajazana mlangoni, wengine wanaingia ndani kupitia kwenye madirisha.
Mimi nisiye na nguvu, nimeamua kukaa pembeni, siwezi kuingia ndani ya basi katika staili ya kusukumana au kupitia dirishani.
Kutokana na tabu ya usafiri, nalazimika kusubiri muda mrefu, huku pia nikitumia fursa hiyo kujifunza mengi kutoka kwa abiria wenzangu tunaosubiri usafiri kituoni hapo.
Kuna jambo naliona, linanivutia. Naamua kuelekeza umakini wangu kwenye jambo hilo. Ni mavazi hasa waliyovaa wanaume.
Napoteza muda na kuhesabu ‘kimya kimya’, moja, mbili, tatu, nne...nagundua wanaume wengi wamevaa suruali nyeusi. Katika 10, nabaini zaidi ya nusu rangi nyeusi ndiyo imetawala.
Kati ya idadi inayobaki, wamevaa suruali zenye rangi mbalimbali. Najisemea moyoni…haiwezekani, narudia kuhesabu kwa mara nyingine, majibu yaleyale.
Naendelea na utafiti wangu ofisini. Naangalia mavazi waliovaa wenzangu, suruali nyeusi kila kona. Kati ya watano, watatu suruali zao ni rangi nyeusi.
Kwa nini suruali nyeusi zimetawala?
Najiuliza, nataka kwenda mbali zaidi kujua sababu, nafikia uamuzi wa kuwauliza baadhi ya wanaume na wanawake siri ya rangi nyeusi.
Namuuliza George Ambindwile, mhadhiri Chuo Kikuu Dar es Salaam, ambaye mbali na kumfahamu ni miongoni mwa watu wanaopenda kuvaa suruali nyeusi.
Anasema wengi wanapenda suruali nyeusi kwa sababu, kwanza hazina gharama kuzinunua, lakini pia rangi zake hazikeri kama rangi nyingine.
Anaongeza: “Ni vigumu sana kumwona mwanaume amevaa suruali ya rangi nyekundu, kijani au nyingine yenye rangi inayoweza kumfanya kuonekana akiwa mbali.”
Ambindwile anasema kutokana na wanaume wengi kufanya kazi za nguvu kama kwenye gereji, viwandani na kazi zingine, suruali nyeusi huficha uchafu.
Kwa maelezo ya haraka haraka, alisema suruali nyeusi zinapendwa zaidi watu kwa sababu gharama yake ni nafuu.
Kwa upande wake, Zakaria Haule anasema yeye ni mpenzi wa kuvaa suruali nyeusi na sababu kubwa anaitaja ni suala la uchumi. “Suruali nyeusi hazina bei dukani, kwetu sisi walalahoi ndiyo kimbilio letu,” anasema na kuongeza:
Kwa upande wake, Dennis Osward msimamizi wa kituo cha kulea watoto yatima cha Mwanzo wa Nuru cha Victoria, anasema suruali nyeusi ndivyo vazi sahihi la walalahoi.
Anasema: “Suruali nyeusi haifuliwi mara kwa mara kwa sababu huficha uchafu tofauti na zingine. Kutofuliwa mara kwa mara, kunaifanya kudumu muda mrefu.”
“Unahitaji usafi kidogo unapokuwa na suruali nyeusi. Unaweza kuivaa zaidi ya mara tatu na kuendelea bila kuonekana kama ni chafu.”
Jannifer Sumi naye hakuwa mbali na mjadala wa suruali nyeusi. Anasema: “Wanaume wa kawaida siyo watu wa fasheni kama wanawake, hivyo hupenda nguo rahisi kama suruali nyeusi.
“Fasheni huendana na rangi kadhaa, wanaume wengi siyo wachaguaji wazuri wa rangi, lakini pia hawapendi rangi za kuwaonyesha kirahisi mbele ya macho ya watu.”
Vazi pekee rahisi kwao ni rangi nyeusi. Sumi anakubali kuwa kuna wanawake wengi pia hupenda rangi nyeusi, ingawa sababu zinaweza kuwa tofauti na zile za wanaume.
Kwa upande wake, Noor Shija anasema wanaume hupendeza zaidi wanapovaa suruali za rangi nyeusi kuliko rangi nyingine yoyote.
Anasema: “Suruali nyeusi zina faida kubwa kuliko kinyume chake. Kwanza, ndiyo rangi unayoweza kuvaa na shati lenye rangi yoyote.
Pia, mtu anapovaa suruali nyeusi, anaweza kufunga mkanda wa rangi yoyote. Kwa ufupi, rangi nyeusi ndiyo inayowafaa wanaume.”
“Ukiwa na suruali nyeusi, unaweza kuvaa na shati lenye rangi yoyote, liwe shati la bluu, jekundu, jeupe na hata njano.
Sabato Mwakipesile, anayemiliki ofisi ya ushonaji nguo ‘Pendeza Dress’ ya Mbezi Luis, anakiri wanaume wengi kupenda kuvaa suruali nyeusi, akiwamo yeye mwenyewe.
Anasema katika ofisi yake, kati ya suruali 10 anazoshona kila wiki, sita huwa na rangi nyeusi na zinazobaki huwa na rangi tofauti, lakini zinazokaribiana na nyeusi kama ‘Dark Blue’.
Anasema: “Mbali na kushona, pia nauza vitambaa mbalimbali, lakini vile nyenye rangi nyeusi ndiyo vinapendwa zaidi na wateja wanawake kwa wanaume.”
Kuhusu kwa nini wanaume wanapenda suruali nyeusi, anasema: “Ni vazi rahisi, halichakai mapema, ni rahisi kuficha uchafu, bei yake siyo kubwa na likishonwa vizuri linapendeza mwilini.”
Kwa upande wake, Jumanne Mussa mkazi wa Kijitonyama, anasema wanaume wanapende suruali nyeusi kwa sababu ndiyo tafsiri ya kupendeza kwa mwanaume.
Anasema: “Angalia viongozi au watu maarufu duniani, vazi lao kubwa ni suti nyeusi. Hata kwenye sherehe za harusi, bwana harusi hupendeza zaidi akiwa na suti nyeusi kuliko rangi nyingine.”
Kwa upande wake, Lilian Timbuka anasema sababu kubwa ya wanaume kupenda suruali nyeusi ni kwa sababu ya ‘upofu’ katika kuchagua rangi.
“Wanaume siyo wachaguaji wazuri wa rangi, lakini pia hawana mvuto na rangi kali au za kumeremeta. Macho yao ni mepesi kuona rangi kali, lakini hawapendi rangi za aina hiyo,” anasema.
MAKALA KUTOKA GAZETI LA MWANANCHI.... Joseph Kapinga

Sitta amsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu TPA, alalamikiwa kwa ubabaishaji

Posted by Unknown at 23:36 0 Comments

Waziri wa Uchukuzi ,Samweli Sita akitangaza kumfuta kazi aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Bandari nchini,Madeni Kipande kutokana ubadilifu katika utoaji wa dhabuni Dar es Salaam jana.
Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi Samuel Sitta amemsimamisha kazi Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande baada ya kuwepo malalamiko ya ubabaishaji katika zabuni mbalimbali za mamlaka hiyo.
Hatua hiyo ya Sitta imekuja wiki tatu baada ya kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuiongoza wizara hiyo akitokea Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Kabla, wizara hiyo ilikuwa chini ya Dk Harrison Mwakyembe.
Sitta, ambaye pia hujulikana kama Mzee wa Viwango, amewaambia waandishi wa habari jijini hapa leo kuwa wadau mbalimbali wamesema taratibu za zabuni TPA haziendeshwi kwa uwazi na uaminifu.
“Wanasema hakuna uwazi katika zabuni, kuna dalili ya ubabaishaji. Katika kamati za kutathmini zabuni majina ya watu yanabadilika badilika na hata baada ya mshindi kupatikana bodi huchelewa kutoa barua inayohusu uamuzi wa kumpata mshindi huyo,” amesema Sitta.
“Hayo yote yanajenga taswira isiyo nzuri kwa bandari, serikali na nchi nzima kwa ujumla,”
Kwa kuwa Mkurugenzi Mtendaji ndiye msimamizi mkuu wa shughuli za bandari, amesema ameamua kumsimamisha Kipande kupisha uchunguzi kwa kipindi hicho na nafasi yake itachukuliwa na Meneja Bandari ya Dar es Salaam, Awadh Massawe.
Kutokana na kusimamishwa kwa kigogo huyo, Sitta aliitangaza tume maalumu ya watu sita itakayochunguza tuhuma hizo ikiongozwa na Jaji Mstaafu Augusta Bubeshi na itafanya kazi hiyo kwa majuma mawili.
Wengine katika tume hiyo ni Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mamlaka ya Manunuzi ya Umma (PPRA) Dk Ramadhan Mlinga, Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa TPA Samson Luhigo, aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu, TPA Happiness Senkoro.
Pia, katika tume wapo Mkurugenzi wa Masoko mstaafu wa TPA Flavian Kinunda na Mtumishi wa Wizara ya uchukuzi Deogratius Kassinda atakaye kuwa Katibu.
“Nimejitahidi kuwachukua hawa wastaafu kwa kuwa kwa sasa hawatafuti cheo chochote na tunaamini watatenda haki kwa kuchunguza tu bila uonevu wowote.
“Ni muhimu sana taratibu za bandari ziwe wazi, ziheshimike duniani kote kwa kuwa miradi ya bandari ni mikubwa sana inayopitishwa na bodi ya zabuni ya bandari,” amesema Sitta
Hata hivyo Waziri Sitta baada ya kumaliza kuzungumza na waandishi hakutaka kuruhusiwa kwa swali lolote kwa madai kuwa anamajukumu mengine.

ddsdfs


Powered by Blogger.
back to top